hadhabu hii imetokea katika mchezo ambapo mhispania huyu kumuwekea mkono usoni mchezaji Laurent Koscielny
katika mchezo huu chelsea ilishionda kwa 2-0 kwa arsenal
klabu zote mbili kati ya chelsea na arsenal zakumbwa na adhabu kwa kushindwa kuwatuliza na kuwadhibiti wachezaji wao wakati wa ugomvi
lakini refa mike dean hajakumbwa na hadhabu kwa kushindwa kuongoza mchezo katika uwanja wa stamford bridge
imethibitishwa kuwa atachezesha mpira dhidi ya west ham na norwich katika weekend hii
mchezaji mwenzake wa chelsea ndugu zouma amesema mchezaji mwenzake ni muongo siku zote kwaiyo ni mtu wa kupewa hadhabu siku yoyote
timu ya arsenal imeshinda rufaa yake kwa mchezaji wake gabriel kufutiwa kadi yake aliyopewa
diego costa akiwa anataka kupigana na wachezaji wa arsenal kwa kujitia umwamba
diego costa akimlagai refa ili akwepe kupata adhabu ya mchezo
No comments:
Post a Comment