Monday, 21 September 2015

manchester yamliza 3-2 southampton

Louis Van Gaal amesema Manchester United itashika usukani ligi ya uingereza baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Southampton  

  • Manchester United imeishindaSouthampton 3-2 jumapili na kushika nafasi ya pili nyuma ya mnchester city 
  • United ni point mbili nyuma ya vinara wa ligi hiyo Manchester City baada ya michezo 6
  • Van Gaal amesema United walikaribia kushika nafasi za juu msimu uliopita ila saivi atapambana kupata ushindi zaidi
  • Ronald Koeman amesema Southampton ni timu nzuri pia 


  • Anthony Martial (centre) nets his second goal in as many Premier League  to level the scores at 1-1

antony martial(katikati) akifunga goli lake la pili katika mpira wa kusawazisha dhidi ya southampton 1-1

Martial (right), Manchester United's new £58million man, wheels away in celebration alongside Juan Mata
mchezaji martial kulia akisherehekea goli yeye na juan mata, martial alisajiliwa kwa paund £58 milion 
Morgan Schneiderlin (left) joins the celebrations after Martial (right) cancelled out Graziano Pelle's opener
Louis Van Gaal told united fans 'you cannot expect consistency' from 19-year-old Martial despite great start
van gaal awaambia mashabiki wake kuwa hakutegemea kama kijana mdogo wa miaka 19 angeweza kuzoea ligi mapema hivyo anahitaji pongezi
In the second half, Martial notched his second of the game after Southampton defender Maya Yoshida's error

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...