Wednesday, 24 August 2016
LIVERPOOL 5-0 BURTON ALBION
ANGALIA MAGOLI WALIYOFUNGA LIVERPOOL DHDI YA TIMU YA BURTON ALBION
Tom Naylor alijifunga mwenyewe na kuipatia Liverpool bao la tatu dakika ya 61, kabla ya Daniel Sturridge ambaye aliingia kutokea benchi kufunga mawili mnamo dakika ya 78 na 83 na kuhitimisha karamu ya mabao 5-0 kwa Liverpool.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah
Mchezaji wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...
-
MAISHA ni vita bwana. Ili uweze kushinda, lazima upambane kweli. Wapo wanaoamini kuwa ‘kutusua’ kimaisha lazima uwe umesoma lakini huen...
-
KWA NINI WATOTO HUPOTEZA HAMU YA KULA? Kukosa hamu ya kula ni tatizo la kawaida kwa watoto ambalo hupelekea wazazi wengi kuwa na wasiwasi...
-
Mao alikuwa kiongozi Kichina Kikomunisti na mwanzilishi wa Jamhuri ya Watu wa China. Yeye alikuwa kuwajibika kwa sera za maafa ya ...
No comments:
Post a Comment