Friday, 20 October 2017

kocha mpya wa simba apokelewa kwa staili yake


Kocha msaidizi moya wa Simba, Djuma Masoud ametua Simba na kuanza kazi moja kwa moja.
Masoud raia wa Burundi alipokelewa kwa bashasha ikiwa ni pamoja na kuwasalimia memba wa benchi la ufundi.
Lakini akatumia muda wake mwingi akisalimiana na Haruna Niyonzima ambaye alizichezea Rayon Sports na APR kwa nyakati tofauti.
APR ndiyo timu iliyomtangaza Masoud wakati akiwa mchezaji lakini Rayon ndiyo timu iliyolitangaza jina lake kama kocha baada ya kupata mafanikio makubwa.



No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...