Thursday, 24 September 2015

MANCHESTER united ikiichakaza IPSWICH

Manchester United vs Ipswich, Capital One Cup: mchezo mzima


Man Utd 3-0  Ipswich
  • W. Rooney23
  • A. Pereira60
  • A. Martial90+2
    Old Trafford

    manchester united imeichakaza klabu ya IPSWICH jana katika mpira wao kwenye kombe la capital one ambapo mchezaji mkongwe klabuni hapo na mzuri zaidi aliyerudi baada ya kuumia akitumbukiza kambani muda kabla ya mapumziko 
    ROONEY dakika ya 23
    Andreas Pereira dakika ya 60
    Antony Martial dakika za nyongeza 

    Manchester United vs Ipswich, Capital One Cup: live
    rooney akionyesha uwezo wake kwa kuisaidia timu yake kufika kwenye round ya nne
    rooney anafanya kutoka na kumuachia ndugu memphis aliyekuja kuonyesha uhai zaidi ndani
    Rooney akifunga goli la ufunguzi kwenye mchuano wa capital one cup
    Embedded image permalink
    mchezaji kutoka katika kikosi kidogo cha manchester united Andreas perreira 
    mchezaji kinda kutoka klabu ya manchester akipiga mpira wa adhabu alipoachiwa na mchezaji juan mata na kuutumbukiza kimiani baada ya hapo alimkimbilia mchezaji juan mata kwa kumpa neema hiyo
    Andreas Pereira

    No comments:

    Featured Post

    Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

    Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...