Monday, 21 September 2015

manchester united yapata sifa za kutosha

Southampton 2-3 Manchester United: uwepo wake mkubwa Anthony Martial ameisaidia timu ya Louis van Gaal's kwa mashambulizi kutoka nyuma katika uwanja wa St Mary's  

  • Graziano Pelle akiwa nyumbani aliipa timu yake goli la kuongozadakika ya 13 ni baada ya mpira uliopigwa na Sadio Mane's kuokolewa
  • kabla ya kipindi cha kwanza kuisha, Anthony Martial alifunga goli lake la pili katika ligi ya uingereza Premier League katika mechi zake alizocheza Manchester United 
  • Martial alirudi tena nyavunibaada tu ya kipindi cha kwanza kuanza,  Maarten Stekelenburg baada ya makosa kutoka kwa Maya Yoshida
  • Juan Mata aliongeza goli la tatu kwa United, kurudishashuti kwenye nyavu baada ya shuti la Memphis Depay's kugonga mwamba na kurudi 
  • baadae hofu iliongezeka kwa manchester  United baada ya Pelle kuifungia tena timu yake goli la pili wakiwa nyumbani kwa wasiwasi wasijekuongezwa 
  • kwa upande wa Louis van Gaal yeye amepanda hadi nafasi ya pili , point mbili nyuma ya Manchester City
  • Gary Neville: Anthony Martial ataanza kwa asilimia 95 ya michezo ya timu ya Manchester United... Louis van Gaal anahitaji uwepo wake 
  • Frenchman Martial (centre) has now played two matches for Manchester United in the Premier League and netted three times already
Martial celebrates his second goal of the afternoon after sliding the ball into the bottom corner of Maarten Stekelenburg's net
mchezaji antony martial akishangilia goli lake alilolifungia manchester united
After just 13 minutes, Pelle (right) put the home side ahead, finishing off the rebound after Sadio Mane's initial effort was saved
goli alilofunga pele baada ya shuti alilopiga mano kurudishwa na goli kipa dakika ya 13
De Gea (bottom in green) lies flat on the St Mary's turf after conceding his second Premier League goal of the 2015-16 season
goli kipa david de gea akiwa chini baada ya kufungwa goli la pili kwenye msimu huu wa ligi kuu uingereza
Pelle (centre) is congratulated by his Southampton team-mate Jose Fonte (left) after putting his side 1-0 up against Manchester United
wachezaji wa southampton wakishangilia goli lao baada ya kuifunga manchester united
 Antonio Valencia (left) and Morgan Schneiderlin (right) approach Manchester United team-mate Mata to celebrate his goal
juan mata akishangilia goli aliloifungia manchester united Antonio Valencia (kushoto) and Morgan Schneiderlin (kulia)

hii ndio jinsi pasi zilizochezwa hadi kulipata goli la mata
Late in the match at St Mary's, Southampton provided a scare when Pelle added his second of the match to make the score 2-3
United manager Louis van Gaal shakes hands with Marcos Rojo as Mata is congratulated by compatriot Ander Herrera (right)

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...