Wednesday, 23 September 2015

ziara ya papa francis nchini marekani


jumanne, Sept. 22




PAPA AWASILI NCHINI MAREKANI KWA ZIARA YAKE HUKO

The plane of Pope Francis arrives in the United States

ndege ya papa francis wa I ikiwa inatua katika uwanja wa ndege marekani(st.base andrew)
WASHINGTON — mtu mwenye nguvu zaidi duniani kutoka taifa kubwa na lenye nguvu zaidi dunuani akimpokea kiongozi wa dini papa Francis kwenye historia ya marekani 
raisi obama ampokea kwa madai kwamba alikuwa anamsubiri kwa hamu sana ujio wa papa huyu wa kanisa la ROMA
papa francis atatembelea ikulu kwa raisi barack obama siku ya jumatano asubuhi, lakini kama isivyo kawaida Obama mwenyewe ametoka kumpokea katika uwanja wa ndege siku ya juma tano mchana
papa asema hatoongelea swala la kuwekewa vikwazo kwa nchi ya cuba
zaidi ya watu milioni moja wanakadiriwa kushiriki katika ibada ya misa itakayoongozwa na papa katika eneo la wazi la Philadelphia's Benjamin Franklin Parkway. pia atatembelea Curran-Fromhold ratiba za mapapa waliotembelea marekani ni kama ifuatayo
Crowds wait for the Pope's plane to taxi in.
umati wa watu wakiwa wanamsubiri kushuka chini papa francis

papa akisalimiana na mtoto wa obamaMalia Obama, shakes the hands of His Holiness as her
Honor guards present flags as Pope Francis deplanes
papa akiwa anashuka na watumishi wakatoliki wakimsubiri na nguo zao nyeusi
• 10 jioni.: Pope Francis atawasili Washington, D.C., kwenye eneo la Joint Base Andrews
Jumatano, Sept. 23
• 9:15 asubuhi: ikilu kwa obama White House kutakuwa na sherehe ya ukaribisho
• 11:30 asubuhi: sala ya asubuhi na maaskofu wa marekani kwenye eneo la Saint Matthew's Cathedral
• 4:15 jioni: ibada ya misa Junipero Serra Canonization
Alhamisi, Sept. 24
• 9:20 asubuhi: atahutubia eneo la wazi
• 11:15 asubuhi: atatembelea kanisa katoliki St. Patrick's na Catholic Charities of theArchdiocese ya washington
• 4 joini.: kuhama Base Andrews kwenda  New York 
• 5 jioni.:kuwasili katika uwanja wa ndege wa John F. Kennedy International Airport , New York
• 6:45 jioni.: sala ya jioni katika kanisa la  St. Patrick's Cathedral ,New York
Ijumaa, Sept. 25
• 8:30 asubuhi.: atatembelea ofisi za umoja wa mataifa
• 11:30 asubuhi: kufanya kazi tofauti katika eneo la 9/11 Memorial and Museum, World Trade Center
• 4 jioni: kuwaqtembelea wasichana wa malkia katika shule ya Angels School in East Harlem
• 6 jioni.: ibada ya misa Madison Square Garden 
Saturday, Sept. 26
• 8:40 a.m.: atahama kutoka John F. Kennedy International Airport kwenda Philadelphia  
• 9:30 a.m.: atawasili katika eneo la  Atlantic Aviation , Philadelphia
• 10:30 a.m.: ibada ya misa katika makanisa ya Cathedral Basilica la Saints. Peter and Paul
• 4:45 p.m.: atatembelea uwanja wa uhuru nchini humo
• 7:30 p.m.: atahudhuria katika tamasha la Benjamin Franklin Parkway na pamoja na sala katika jumuiya za familia za watu duniani
jumapili, Sept. 27
• 9:15 a.m.: papa atakutana na maaskofu katika eneo la St. Martin's Chapel, St. Charles Borromeo Seminary
• 11 a.m.: atatembelea eneo la Curran-Fromhold Correctional Facility
• 4 p.m.: ibada ya misa kwa watu wote wa dunia
• 7 p.m.: atakutana na watu mbali mbali
• 8 p.m.: ataondoka kurudi Rome
imetayarishwa na : Jenna Pizzi and Shahrazad Encinias, The (Wilmington, Del.) News Journal
A Cardinal, Pope Francis and President Barack Obama
picha ya papa akiwa katika mapokezi nchini marekani akiwa na obama

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...