Wednesday, 23 September 2015

TIMU YA CHELSEA MATATANI BAADA YA KUMFUKUZA KAZI DAKTARI WAO WA KIKE.


TIMU YA CHELSEA MATATANI BAADA YA KUMFUKUZA KAZI DAKTARI WAO WA KIKE.
Hali hii imetokea baada ya kampeni ya wanawake katika mpira wa miguu kuishtaki klabu hii kwa utovu wa nidhamu
Katika kampeni ya kundi la Women in Football (WiF) wanaamini Eva Carneiro's aliondoka katika klabu ya Chelsea wataachana na wanawake katika mpira wao kwenye klabu
Morinho aliyafanya hayo kwa kumkataa daktari huyo kwenye klabu hiyo siku ya jumanne baada ya mchezo wao kati ya SWANSEA ambayo walitoka kwa Chelsea 2- 2 swansea
Ni kati ya madaktari wa kike wachache ambao walikuwa wanapata ubaguzi mara nyingi katika klabu hiyo
Wanaamini kuwa madaktari wa kike wananafasi kubwa kushiriki katika kila kona ya mchezo kwenye uwanja wa mpira wa miguu
Chama cha wanawake kwenye mpira kinaamini kukaana na kushirikiana na shirikisho la mpira wa miguu na klabu jambo la wanawake wakipata tabu mchezoni.
Carneiro and Fearn madaktari wote hawa wametolewa kwenye klabu kwa kosa la kumtibu mchezaji hazard kwa muda mrefu zaidi uwanjani kutokana na kocha jose morinho

Msemaji wa shirika moja huko nchini uingereza amenukuliwa akisema kuwa uelewa wake kwenye klabu na ufanyaji kazi wake hauna shaka kabisa kwenye klabu isipokuwa jose morinho ndie aliyeleta shida
Jose Mourinho and Eva Carneiro had a touchline row during Chelsea's draw with Swansea in August
wakiwa katika mchezo kocha jose morinho akimkaripia daktari wake
Carneiro was dropped from the Chelsea bench as a result and will now sue the club for constructive dismissal 
eva carneiro akiondoka kwenye benchi la madaktari wa klabu hiyo
Mourinho shouts across the pitch as Chelsea's Hazard lies injured following a foul at Stamford Bridge
morinho akipiga kelele wakati madaktari hao wakimtibu mchezaji hazard baada ya kuitwa na refa wa mchezo
Carneiro was criticised by Mourinho for treating Eden Hazard which meant he had to come off the pitch
wanamtibu hazard morinho akidai kuwa mchezaji angepona mapema hata kama asingetibiwa
Carneiro made one of her first posts on Facebook, having previously been almost silent on social media
hii ni post yake ya kwanza kwenye mitandao ya kijamii baada  ya kufukuzwa 

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...