
beki wa timu ya taifa ya uingereza ajiunga na pepe guardiola katika harakati za kuitumikia klabu ya manchester city kwa mkataba wa miaka 6
mchezaji john stones anasema anayofuraha kubwa sana kujiunga na klabu ya machester city kwa ajili ya kuendeleza kipaji chake chini ya kocha guardiola.
john stones mwenye miaka 22 ataungana na wenzake kama Nolito, Oleksandr Zinchenko, Leroy Sane and Gabriel Jesus, Stones ataongeza nguvu katika upande wa ulinzi zaidi
ada yake ya uhamisho imefichwa
No comments:
Post a Comment