Barcelona washinda kwa jumla ya Goli 6-5
Miamba hawa wa Spain walitoka nyuma kwa goli 4 sufuri ambazo walikuwa wamefungwa na PSG hivyo baada ya dakika 2 za mchezo suarez akawapa matumaini ya kuendelea kwa kuifungia goli la kwanza
MAGOLI YAKIFUNGWA NALUIS SUAREZ 3', KURZAWA OG 40', MESSI 50' NEYMAR 88',90+1(P), ROBERTO 90+4GOLI LA PSG EDSON CAVAN 60'
kocha Wa barcelona Luis Enrique akishangilia baada ya kufuzu nafasi inayofuata
Sergio Roberto ahojiwa na kusema hajui jinsi gani alivyofunga goli
mchezaji Neymar Kiiingia kambani mara 2 kuipa ushindi timu yake
Edson Cavan Alionekana baada ya kuipa ushindi timu yake wa goli la ugenini ameisadia kufuzu kabla mambo hajabadilika kwao
No comments:
Post a Comment