Sunday, 12 March 2017

Mechi ya Barcelona na Paris Saint German kurudiwa

FIFA president Gianni Infantino spoke about the match on Friday in relation to video replays
Raisi wa FIFA Gianni Infantino akiongea kuhusu mtafarukur uliojitokeza katika mechi baina ya Barcelona na PSG, amewataka wanaotengeneza sheria za mpira kuwa makini katika kuzirekebisha sheria hizo na kuhakikisha kuwa makosa kama hayo yakitokea tena yatarekebishwa
Barcelona's opener through Luis Suarez should have been disallowed, says the petition
Hili ndilo goli lililoleta mtafaruku na kudaiwa siyo goli halali huku likitakiwa kutohesabiwa kama ni goli
Sergi Roberto scored a late winner as Barca overturned a 4-0 deficit to win 6-5 on aggregate
Sergi Robert akishangilia goli la ushindi katika mechi dhidi ya Paris Saint German (PSG), Barca 6-1 PSG mechi ambayo imeleta mtafaruku mkubwa kuwa Barcelona walipendelewa na kutaka mechi hiyo irudiwe tena. Mtafaruku huo umeanza baada ya mashabibiki wa Real madrid kupeleka malalamiko kuhusu muamuzi wa mechi hiyo Deniz Aytekin kuwa alifanya makosa ya kuruhusu goli la kwanza linalodaiwa kuwa halikuwa sahihi

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...