| Mtanange mkali unaosubiriwa na mashabikii wengi wa mpira wa miguu duniani kote siku ya jumatatu saa 10;45, mechi kati ya Chelsea dhidi ya Manchester united katika hatua ya robo fainali ya kombe la mfalme swali la kujiuliza Je, kurejea kwa kocha wa Manchester united darajani kutakuwaje?? kitu cha kuzingatia hapa katika mechi hii ni kuwa mourihno hatotaka kufungwa mara mbili na Antonio Conte( kocha wa chelsea) ili kujenga heshima yake kwa upande wa pili conte hatopenda kuchafua rekodi yake ya ushindi hivyo kwa sababu hiyo mechi hiyo itakuwa ya kukata na shoka |
Sunday, 12 March 2017
Mourihno kurejea Darajani kulipiza kisasi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah
Mchezaji wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...
-
MAISHA ni vita bwana. Ili uweze kushinda, lazima upambane kweli. Wapo wanaoamini kuwa ‘kutusua’ kimaisha lazima uwe umesoma lakini huen...
-
KWA NINI WATOTO HUPOTEZA HAMU YA KULA? Kukosa hamu ya kula ni tatizo la kawaida kwa watoto ambalo hupelekea wazazi wengi kuwa na wasiwasi...
-
Mao alikuwa kiongozi Kichina Kikomunisti na mwanzilishi wa Jamhuri ya Watu wa China. Yeye alikuwa kuwajibika kwa sera za maafa ya ...
No comments:
Post a Comment