Tuesday, 14 March 2017

PSG yatuma barua yenye nakala 5 kwa uongozi wa UEFA

Referee Deniz Aytekin with the PSG players
PSG watuma barua yenye kurasa tano kwa wasimamizi wa klabu bingwa ukaua kutokana na uchezeshaji mbovu wa refa Deniz Aytekin, ujumbe huu unabebwa na karatasi zenye kurasa tano kuonyesha makosa yote na makosa yao zaidi ni nini. 

pia wameeleza makosa nane ambayo yanafanyika kila mara na hufanyika kumkandamiza mpinzani wa klabu kubwa sana sana barcelona. 
 Pierluigi Collina will decide whether Aytekin should be demoted
Pierluigi Collina atachukua maamuzi kama atamfukuza kazi refa yule au atamfanya nini?
Hata hivyo PSG wanaona kwamba sio heshima waliofanyiwa Deniz katika mchezo ule ambao umewafanya wachezaji wengi wa klabu hiyo ya ufaransa kujisikia vibaya. 
Javier Mascherano 

pamoja na hayo wameeleza penati yao waliokataliwa kwa beki kumchezea vibaya Dimaria kitu ambacho Javie Mascherano alikubali kufanya hivyo lakini alisema hiyo sio sababu ya wao kuwatoa PSG.

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...