Tuesday, 14 March 2017

Chelsea kuivaa Spurs Nusu fainali, Arsenal kukutana na Manchester city

Image result for manchester city vs arsenal fa cup
Ni kibarua kizito kwa washika bunduki wa london kuwafunga manchester city ili kufuzu kuingia fainali, je vijana wa Wenger wanaweza kuwafunga vijana wa Guadiola????
FA Cup DRAW LIVE: Arsenal vs Man City and Chelsea vs Spurs
Kombe hili la nani????
Chelsea to play Spurs while Arsenal face Man City in FA Cup semi-final
Timu kali za london kukutana hatua ya nusu fainali,  chelsea na tottenham wameshakutana msimu huu na kila mmoja kumfunga mwenzie mara moja, timu hizi zitakutana tena katika hatua ya nusu fainali kumtafuta atakaeingia fainali ya kombe la mfalme

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...