Wednesday, 1 March 2017

SIRI ILIYPO NYUMA YA GABRIL JESUS




Mchezaji wa manchester city Gabriel Jesus Yuko nje ya Uwanja tangu february 13

mchezaji huyu wa kibrazili (19) aliyehamia klabuni hapo kutoka Palmeiras amesumbuliwa na majeruhi tangu katiakati ya mwezi huu.
amefunga Mara tatu katika awamu nne alizochezea klabu hiyo
Gabriel Jesus of Manchester City (R) celebrates scoring his sides second goal with Pablo Zabaleta Gabriel jesus akishangilia goli kwa kuanza vizuri kwenye ligi hiyo
Gabriel Jesus of Manchester City receives treatment for an injury akiwa chini wakati akiwa anacheza na bournmouth mwezi huu

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...