kocha wa Manchester united Amesema kiwanja kwa ajili ya mchezo wao na Rostov hauko vizuri na haujakidhi vigezo kutokana na viwango vya UEFA
Wataalamu wamesema kwamba Hakuna namna kutokana na maamuzi ya UEFa
uwanja huo hapo chini
Mchezaji wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...
No comments:
Post a Comment