Wednesday, 20 September 2017

leicester yaibipa liverpool goli 2 kwa mtungi

Leicester 2-0 Liverpool: Foxes in Carabao Cup fourth round

Leicester iko katika mzunguko wa nne wa Kombe la Carabao na Liverpool imepoteza nafasi kubwa ya nusu ya kwanza



     Shinji Okazaki aliiweka Leicester mbele katika uwanja wa  nyumbani na kuongeza makali ya eneo hilo katika dakika ya 66



     Slimani alifunga goli la pili na kuifaidisha klabu yake kwa  upande wa nyumbani 

Liverpool iliongoza nusu ya kwanza lakini mara moja Jurgen Klopp aliwaondoa Philippe Coutinho wakati huo timu yake ilipoteza cheche zake na kuwaruhusu washambuliaji wa klabu pinzani kuwachachafya mabeki wa Liverpool. 
 Islam Slimani lets fly from the edge of the box to put Leicester 2-0 up and send them into the fourth round of the Carabao Cupslimani akifunga goli la piliIslam Slimani slides into the corner to celebrate doubling Leicester's advantage 12 minutes from timeSlimani akishangilia baada ya kuizamisha Liverpool
Shinki Okazaki stabs home from the edge of the penalty area to hand Leicester the lead in the second half against Liverpool 
Okazaki Akipiga mpira kwenda kwenye pembe ya Goli na kuiandikia Goli la Kuongoza
 Okazaki is congratulated by Vicente Iborra after drawing first blood in the Carabao Cup third-round clash

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...