Tuesday, 12 September 2017

rekodi za timu kubwa kwenye michuano ya ligi ya mabingwa.




Kuelekea hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa wa ulaya inayoanza kesho – tuangalie rekodi mbalimbali zinahusu hatua hiyo ya michuano hii mikubwa zaidi barani ulaya kwa ngazi ya vilabu.
Wachezaji Binafsi

Mchezaji aliyecheza mechi za makundi – Iker Casillas – 87.
Aliyefunga magoli mengi: 57 – Lionel Messi (Barcelona) ana uwiano wa kufunga goli moja katika kila mechi aliyocheza – amecheza mechi 57.
 
Mchezaji aliyefunga magoli mengi kwenye mchezo mmoja wa makundi 5 – Luiz Adriano (BATE Borisov 0-7 Shakhtar Donetsk, 21 October 2014)
:
Mchezaji aliyefunga magoli mengi katika hatua ya makundi katika msimu mmoja 11 – Cristiano Ronaldo (Real Madrid, 2015/16)
Rekodi za Umri 


Mchezaji mdogo zaidi kuwahi kucheza katika hatua ya makundi ya ya Chmapions League: Alicheza mechi yake ya kwanza akiwa na umri wa miaka 16 na siku 87 – Celestine Babayaro (akiitumikia Anderlecht ambao walitoka 1-1 vs Steaua Bucureşti, 23 November 1994)
:
•Mchezaji mdogo zaidi kuwahi kufunga katika hatua ya makundi: Miaka 17 na siku 195 – Peter Ofori-Quaye (Rosenborg 5-1 Olympiacos, 1 October 1997)
:
•Mchezaji mwenye umri mkubwa zaidi kuwahi kucheza katika hatua ya makundi ya UCL ni Marco Ballotta: miaka 43 na siku 253 mnamo 11 December 2007).
:
Francesco Totti ana rekodi ya kuwa mfungaji wa goli katika hatua ya makundi mwenye umri mkubwa zaidi. Alifunga goli vs CSKA Moscow mnamo November 25, 2014 – akiwa na miaka 38 na siku 59.
Rekodi za Timu

•Timu iliyocheza mara nyingi hatua ya makundi ya Championd League: Mara 22 – Barcelona, Real Madrid, Porto
:
•Timu iliyopata point nyingi katika hatua ya makundi ndani ya msimu mmoja: Points 18 – AC Milan (1992/93), Paris Saint-Germain (1994/95), Spartak Moskva (1995/96), Barcelona (2002/03), Real Madrid (2011/12 and 2014/15)
:
•Timu zilizopata points chache zaidi: 0 – Dinamo Zagreb na Club Brugge (2016/17)
:
•Timu iliyofunga magoli mengi katika hatua ya makundi ndani ya msimu mmoja: 21 – Borussia Dortmund (2016/17)
:
•Timu ambazo zilikuwa na rekodi mbaya za ufungaji katika hatua ya makundi ya msimu mmoja wa UCL: 0 – Deportivo La Coruña (2004/05), Maccabi Haifa (2009/10), Dinamo Zagreb (2016/17)
:
•Timu ambayo imefungwa magoli katika hatua ya makundi ya msimu wa UCL: 24 – BATE Borisov (2014/15), Legia Warszawa (2016/17)
Rekodi za Mechi
 
•Mchezo uliohusisha magoli mengi katika hatua ya makundi ya Championd League: Borussia Dortmund 8-4 Legia Warszawa, 22 November 2016
•Ushindi mkubwa zaidi katika hatua ya makundi: 8-0 (mara mbuli) – Liverpool 8-0 Beşiktaş (6 November 2007), Real Madrid 8-0 Malmö (8 December 2015)
•Mechi iliyotoa matokeo ya sare makubwa zaidi – Hamburg 4-4 Juventus (13 September 2000), Leverkusen 4-4 Roma (20 October 201

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...