Thursday, 14 September 2017

ufaransa Wapata kuwa wenyeji wa Olympic 2024

Wednesday Sept. 13, 2017, shows the Champs Elysees in Paris as the road cycling venue as the city becomes ready to host the Olympic Games in 2024Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa imechagua mji mkuu wa ufaransa, Paris, kuwa mwenyeji wa michuano ya Olimpiki mwaka 2024, na kuutunuku mji wa Los Angeles nchini Marekani kuwa mwenyeji wa michuano hiyo mwaka 2028UlayaRaisi wa kamati ya Olimpiki Thomas Bach aliyeko katikati akitangaza wenyeji wa michuano hiyo kwa mwaka 2024 na 2028 akiwa na meya wa mji wa Paris Anne Hidalgo aliyeko kushoto na meya wa mji wa Los Angeles Eric Garcetti aliyeko kulia.
Paris will host the 2024 Summer Olympics and Los Angeles will stage the 2028 GamesMwezi uliopita, kamati hiyo ilifanya maamuzi ya kuwa Olimpiki mbili za majira ya joto zitatolewa kwa wakati mmoja, baada ya miji kadhaa kuahirisha zabuni zao kutokana na wasiwasi wao kuhusu ukubwa, gharama, na utata wa kuandaa moja ya matukio makubwa kama hayo ya michezo duniani.
Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa uchaguzi wa mji wa Paris kuwa mwenyeji wa michuano hiyo ni ishara kwamba ya kutambuliwa kwa mji na nchi kitu ambacho kila Mfaransa anapaswa kusherehekea.

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...