michezo ilikuwa mikali kwa timu zote kwakuwa walitaka ushindi na timu ndogo zilionekana kucheza kwa umakini zaidi wakitaka kuchukua kombe hili mchezaji mdogo kabisa wa Arsenal Aliyewatoa kimasomaso kwa kufunga goli dakika za mwisho kabisa(EDDIE NKETIAH)
No comments:
Post a Comment