Wednesday, 25 October 2017

Ronaldo Mchezaji bora wa dunia 2017



Cristiano Ronaldo

Cristiano Ronaldo ameshinda taji la shirikisho la soka duniani FIFA la mchezaji bora wa kiume wa kandanda mwaka huu kwa mara ya pili mfululizo
.
Tuzo hiyo kwa mchezaji bora mwanamke aliinyakuwa mchezaji wa Uholanzi Lieke Martens, anayeichezea Barcelona.

 He was presented with the award in London by (left to right) FIFA president Gianni Infantino, Diego Maradona and Ronaldo
Mchezaji huyo kutoka Ureno, amefunga mabao 44 katika mechi 48 alizoshiriki katika mwaka, kuiwakilisha nchi yake pamoja na timu anayoichezea ya Real Madrid aliyochangia kufanikisha ushindi wake katika mataji ya ligi ya Uhispania La Liga na Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya.
Aliwashinda Lionel Messi wa Barcelona na mchezaji ghali zaidi duniani anayechezea Paris St-Germain, Mbrazil Neymar.The two rivals' and their entourage sit alongside each other as the final few people make their way into the London Palladium 

Messi alimpigia kura mwenzake wa Barcelona Luis Suarez naye Ronaldo alimpigia mwenzake wa Real - Luka Modric.

Ronaldo shakes hands with rival Messi while the Madrid man's son watches on ahead of the awards ceremony
Ronaldo na Messi wakisalimiana
The Portuguese forward has enjoyed another remarkable year, helping Real Madrid win La Liga and the Champions League
Ronaldo akiwa na familia yake
Meneja wa England Gareth Southgate alimpigia kura RonaldoSouthgate hopes the system will give his England side some added defensive security





No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...