Jose
Mourinho alimuanzisha Victor Lindelof katika ulinzi licha ya makosa yake
mwishoni mwa wiki dhidi ya Huddersfield
Mchezaji Tammy Abraham, aliyeko Swasea kwa
mkopo kutoka Chelsea, alishuka kwenye benchi kama Paul Clement alipigania timu
iliyo dhaifu
Swansea ilifanya mabadiliko nane kutokana
na mchezo wao mwishoni mwa wiki, wakati Manchester waliamua kutumia hao wake
saba kwa jumla
Mchezajji
Jesse Lingard alifunga bao la kwanza la United baada ya kucheza na Marcus
Rashford kwa ujanja kama vijana wa united.
Lingard mara mbili aliongoza united
wachezaji nane
wa Manchester United waliocheza kwenye mechi na kushindwa kwao kwa shambulio
huko Huddersfield siku ya Jumamosi 'walioalikwa' na Jose Mourinho ili kujaribu
bahati yao tena Jumanne usiku na walifanya maajabu ya Kombe la Carabao wakati
wa mvua kusini mwa Wales.
Badala ya
kutenda kama adhabu hata hivyo, ilionekana kuwa njia nzuri ya kuchochea mapepo,
Jesse Lingard ambaye alikuwa amevumilia dakika 90 kamili katika uwanja wa John
Smith lakini alisimama kwa mtindo wa kufunga mara mbili kwa klabu yake ya
Manchester United.
Kwa hiyo
wamiliki wa Kombe la Ligi wanaingia katika robo fainali msimu huu na Mourinho
angeweza kupita kwa Brian Clough na Sir Alex Ferguson baadaye msimu huu kwa
kuinua ushindani kwa rekodi ya tano.
goli kipa wa zamani wa manchester united akichomoa shuti kutoka kwa mchezaji Jordan Ayew
No comments:
Post a Comment