Friday, 1 December 2017

ferooz ajuta na amesema amejifunza


Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake 'Nakaza roho' amefunguka na kusema kuwa kwa mambo yote ambayo amepitia na yamemtokea yamempa mafunzo makubwa na kusema sasa hatafanya makosa.Ferooz amesema hayo alipokuwa akiongea na mwandishi wa tovuti ya EATV na kudai kuanguka kwake kimaisha kumefanya ajifunze na kujua namna nzuri ya kuishi na watu 
Msikilize hapa akifunguka zaidi 

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...