Friday, 1 December 2017

serena awaliza watu kwenye Tuzo ya mwamke mwanamziki bora wa mwaka

Emotional: Selena Gomez broke down in tears as she thanked her kidney donor best friend Francia Raisa at the Billboard Women Of The Year awards in Los Angeles Thursday'Ameokoa maisha yangu! Selena Gomez aeleza hayo huku akibubujikwa na machozi wakati akikabidhi zawadi aliyopewa kwa mtu aliyemtolea figo anayeitwa Francia Raisa kwenye Billboard's Women In Music
Selena amepewa tuzo kama mwanamke bora na Billboard
Nyota huyu aliongea huku akiwa na hisia kazi sana kwa rafiki yake na msaidizi, mwokozi wake Francia ambapo selena alisema ilitakiwa huyu mwokozi wake apewe bali sio yeye
Akiwa anabubujikwa machozi mwadada huyu mwenye miaka 25 alisema nafikiri Francia alistahili tuzo ameniokoa maisha yangu
Selena aliwashangaza sana watu pale kwa kuonyesha picha zake alizozipiga pindi akiwa amewekewa figo kutoka kwa

Kutokana na maelezo ya mwimbaji huyo Francia alijitolea tu wala hakutaka pesa yoyote wala hakuombwa na mtu yoyote. 
BFF: Selena, who was named Woman Of The Year, was presented with her honor by Raisa and Elle FanningSelena, alitajwa kama mshindi wa tuzo kama mwanamke wa mwaka, alipewa na Raisa na Elle Fanning

 'I think Francia should be getting this award,' the 25-year-old said through tears. 'She saved my life… I feel incredibly lucky.'Serena anasema tuzo hiyo alistahili yule ambaye amemtolea figo akayaokoa maisha yake. 

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...