Ameshiriki mara 29 tu kwenye ligi akianza lakini kwa msimu
huu ameonekana mara mbili tena akitokea benchi la akiba kwenye kombe la Carabao
, akiwa na jumla ya dakika 47 tu kwa vipindi vyote.
Kocha wa Newcastle Rafa Benitez –akiwa na tatizo la mlizni
wa kushoto atageukia unafuu kwa kuomba mchezaji huyo kwa mkopo kwenye dirisha
la usajili
Shaw, anaonekana na msimamo wa kubaki uingereza na atapenda
kuanza katika klabu hyo atakayo ihamia. 
luke shaw ameanza kupata tabu katika kazi yake hii baada ya kuvunjika mguuu kwenye mchezo wao na PSV ligi ya Mabingwa Ulaya.
No comments:
Post a Comment