Saturday, 25 November 2017

mechi ya simba kurudishwa uwanja wa uhuru

Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Simba na Lipuli iliyopangwa kuchezwa Jumapili, Novemba 26, 2017 kwenye Uwanja wa Azam Complex sasa itafanyika kwenye Uwanja wa Uhuru.
Awali mechi hiyo ilihamishiwa Azam Complex baada ya wamiliki wa Uwanja wa Uhuru kueleza kuwa utakuwa na matumizi mengine Novemba 26, 2017.
Hata hivyo, Novemba 22, 2017 Bodi ya Ligi Kuu ilipokea barua kutoka kwa Mmiliki wa Uwanja wa Uhuru ikieleza kuwa uwanja wake sasa uko wazi kuwa mwenyeji wa mechi hiyo itakayochezwa kuanzia saa 10 jioni

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...