Awali mechi hiyo ilihamishiwa Azam Complex baada ya wamiliki wa Uwanja wa Uhuru kueleza kuwa utakuwa na matumizi mengine Novemba 26, 2017.
Hata hivyo, Novemba 22, 2017 Bodi ya Ligi Kuu ilipokea barua kutoka kwa Mmiliki wa Uwanja wa Uhuru ikieleza kuwa uwanja wake sasa uko wazi kuwa mwenyeji wa mechi hiyo itakayochezwa kuanzia saa 10 jioni
No comments:
Post a Comment