real madrid, Psg na barcelona zaingia vitani kuinasa saini ya mchezaji kiungo wa Liverpool na Mchezaji wa timu ya taifa ya Brazili Fellipe Coutinho
kocha Klopp hayuko tayari kumpoteza mchezaji huyo lakini klabu ya liverpool imeona ni sawa tu mchezaji huyo kwenda maana itakuwa faida kubwa sana kwakuwa wanatoa kitita cha milioni Mia moja na zaidi
miamba yote hii mitatu iko mbioni kwa ajili ya kuhakikisha wanatengeneza safu yao ya kiungo kwa kuwa mchezaji huyu anambinu nyingi za kibinafsi.
No comments:
Post a Comment