Sunday, 3 December 2017

Manchester united yaendeleza ubabe kwa mahasimu wao Arssenal

Manchester United wameshinda kwa goli 3-1 dhidi ya Arsenal jana jumamosi achiliambali kadi nyekundu aliyopewa  Paul Pogba, lakini Manchester united waliimarika kwa wakati huo mpaka mwisho wa mchezo
Mfaransa huyu alipewa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya Mchezaji wa arsenal bellerin
Pogba hatokuwepo kwenye mchezo wao na mahasimu wake Mancheter city
Manager Jose Mourinho alisema Pogba alishangazwa na tabia yake ya kuwa mbishi wakati anaitwa na refa.  
Paul Pogba (second left) will miss next week's Manchester derby after being sent off at Arsenal
pogba akiwa anapewa kadi nyekundu na refa baada ya kumchezea vibaya Bellarin wa Arsenal
Pogba akiwa katika muonekano wa Faulu wakati akiukimbiza mpira Antonio Valencia is at the centre of celebrations after opening the scoring for Manchester United in the fourth minute
goli la kuongozea likifungwa na Valencia dakika ya nne

The United right wing-back drilled home a low shot after Arsenal's defence was pulled out of position by Paul Pogba
valencia akiwa katika muonekano wa kufunga
Valencia watches as his low shot beats Arsenal goalkeeper Petr Cech and finds the bottom corner for the opening goal
Jesse Lingard scores United's second goal on 11 minutes after being slipped through by Anthony Martial's cute flick
Lindegard akiifungia Manchester Goli la pili dakika ya 11 

 United were caught out attempting to appeal for an offside, allowing Ramsey to knock the ball back to Lacazette to scorewachezaji wa manchester walibaki kushangaa wakijua ni kuotea wakitoa mwanya kwa remsey kuutuliza mpira na mpasia Laccazete aliyeifungia goli la kufuta machozi
The impressive David de Gea reacts with dismay after Lacazette finally breaks down United's stubborn defensive resistance de gea alikasirishwa na kitendo cha Mabeki wa timu yake kupoteana na kuwaacha wawili hawa kucheza wanavyotaka. 
Lingard celebrates with a knee slide after scoring his second of the evening and United's third on 63 minutesArsenal forward Lacazette tries to guide the ball home under pressure from United defender Marcos Rojo



No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...