Sunday, 3 December 2017

Man city kumuongeza sterling Mshahara na kuwa katika orodha ya wanaolipwa gali zaidi

Raheem Sterling is to be rewarded for his brilliant form with a bumper deal, claim reportsManchester City inataka kumlipa nyota wake Raheem Sterling pesa nyingi na kuwa katika orodha ya wachezaji wanaolipwa pesa nyingi kwenye ligi kuu Uingereza kwa mshahara wa £300k kwa wiki.
Raheem Sterling anatarajiwa kupewa pesa hiyo kama zawadi kwa jinsi anavyocheza vizuri
Sterling ameonekana kuwa vizuri tangu kujiunga na kocha Pep Guardiola

City wanaamini wako tayari kuto pesa hiyo kama motisha kwa mchezaji huyu. 

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...