Friday, 19 January 2018

IVORY COAST 0- 2 ZAMBIA

#CHAN2018 Mpira umekwisha, Zambia yatinga hatua ya robo fainali baada ya kupata ushindi wa pili mfululizo.

FT'- Ivory Coast 0-2 Zambia
Itakapotimu saa 4:30 itakuwa zamu ya Uganda dhidi ya Namibia. Burudani hiyo italetwa kwako mbashara kupitia #ZBC2

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...