katika gazeti hilo limeonyesha orodha ishatolewa na ccm ya vijana watakaopewa kazi maalum katika kila jimbo. Na wote watawajibika makao makuu ya ccm
waraka huo unaonyesha kwamba "makapteni" watakuwa wanalipwa tsh. 125,000 kwa siku
UMMA umeamua ni Lowassa tu...!!!
Naapa hawataweza... hata kidogo..!!!
Hivi jamani...mnajua nguvu ya UMMA..!?
CCM don't play with our country..!!!
Wajibu hao wanapelekwa mikoani kwa ajili ya nn..?
CCM tunataka majibu haraka..?

Naapa hawataweza... hata kidogo..!!!
Hivi jamani...mnajua nguvu ya UMMA..!?
CCM don't play with our country..!!!
Wajibu hao wanapelekwa mikoani kwa ajili ya nn..?
CCM tunataka majibu haraka..?
No comments:
Post a Comment