Sunday, 20 September 2015

huu ni unyama ndugu yangu,,,, watapigwa tuu

NDUGU ZANGU WAPENDWA SANA
napata wakati mgumu sana kueleza hii hali wakati mtu anaipenda ccm hakumbuki nini au hajui au uelewa umepotea

  1. wakati watu wanapigwa na polisi kila kona na kulia inamaana hawaoni au vipii??
  2. wakati polisi wanauwa watu inamaana hawaoni au vipii??
  3. wakati watu wa mtwara wanauwawaa ianamaana mlikuwa hamuoniii aua hamsikii??
  4. ni woga wako aua ni ujinga wakoo
  5. fikiri sana angalia hiyo video hapoo juu

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...