"refa anaogopa kutoa maamuzi kwa upande wa Chelsea. mara zaidi ya moja hatujapewa penati kabisa kwenye mchezo unaoonekana wazi"
"ile penati ilikuwa halali kabisa kwenye ule mchezo kwasababu wachezaji wangu huwa hawana tabia ya kujidondosha kabisa kwa upande wa hasi"
"penati ilikuwa halali kabisa, na baada ya hapo timu ilipoteza ujasiri"

Sadio Mane anaiweka Southampton anaipandisha juu bada ya kushinda 3-1.
"kama FA wanataka kuniadhibu mimi wanaweza kuniadhibu tu. hawafanyi kuwaadhibu wengine morinho alisema hayo jumamosi
"nataka kusema tena; waamuzi wanaogopaga kutoa maamuzi nkwa chelsea
ile penati ilikuwa ya wazi ila aliogopa kutoa siju kwa nini?

hapa ni baada ya kufungwa goli na timu ya southampton
hapa ni baada ya kufungwa goli na timu ya southampton
No comments:
Post a Comment