Wednesday, 18 November 2015

Antony martial apewa thamani kubwa zaidi ya zidane

mshambuliaji wa Manchester United  Anthony Martial, kijana mdogo aliyepewa thamani kubwa kuliko Zinedine Zidane, taratibu amekuwa akihimarika baada ya kuwa na deni kubwa aliposajiliwa kwa paund £58million kwenda Old Trafford

  • Anthony Martial aliitwa kwenye timu ya taifa mara baada ya kusaini na Man United
  • Ada ya shilingi  £58m ilionekana ya kushangaza ila  Martial amewatoa kimasomaso
  • Martialyupo kwenye kikosi cha  ufaransa dhidi ya England at Wembley 
  • France international Anthony Martial moved to Manchester United in a £58million which was met with doubts
  • Antony martial akiwa amevalia jezi yake ya timu ya taifa ya ufaransa

  • Martial has enjoyed an impressive start to his Old Trafford career and has scored five goals for the Red Devils akiwa kwenye tabasamu baada ya kufunga goli lake la kwanza kwenye mechi yake ya kwanza 
  •  zinedine zidane akiwa na jezi yake akiwa anaingia real madrid 
  • Martial trains with his France team-mates at Wembley ahead of Tuesday night's friendly with England

  • antony martial akiwa na wenzanke katika uwanja wa wembley don kwenye mazoezi kabla ya mechi yao na engalnd



No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...