Sunday, 15 November 2015

miili ya watu 15 yapatikana sinai misri

Image captionMiili ya Waafrika 15 yapatikana Sinai Misri
Polisi wa Misri wanasema wamegundua miili ya wa-Afrika 15, ambao inaonekana walipigwa risasi na kuuawa, kaskazini mwa rasi wa Sinai.
Wahamiaji wengine wanane walikutikana wahai lakini wamejeruhiwa.
Haijulikani nani aliwashambulia karibu na mji wa Rafah.
Daima kuna mvutano katika eneo hilo, ambako jeshi la Misri linajaribu kupambana na wapiganaji wa Islamic State

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...