Cristiano Ronaldo aonekana kama ataingia kwenye mkataba wake wa mara ya mwisho na klabu yake ya sasa Real Madrid yeye mwenyewe anaonekana kupenda kujiunga na klabu ya PSG
- Cristiano Ronaldo anaonekana kama ataondoka Real Madrid mwisho wa msimu huu.
- mreno huyu amehusishwa na PSG , manchestter united na Chelsea
- Ronaldo alitia wasiwasi baada ya kunong'onezana na Laurent Blanc's kwenye mechi ya klabu bingwa
- kwa miaka yake 30 anaweza kuwasaidia wafaransa hawa kushinda taji la ulaya
- Cristiano Ronaldo au Gareth Bale for Manchester United?
- ronaldo akimnong'oneza kocha wa PSG baada ya mechi yao na kwenye klabu bingwa ulaya
- raisi wa real madrid perez akimsalimia ronaldo kabla ya mechi yao jumanne
- pamoja na kuwa na miaka 30 lakini bado anaonekana kuhimili mikikimikiki ya mchezo wa mpira kwa mwili wake
No comments:
Post a Comment