si wengine ni southampton
arsenal wanaweza kufanya wawe zaidi kwenye top four au ? kutokana na ushindi walioupata dhidi ya everton kwa goli 2 -0 wataweza kufanya huvyo tena
je tottenham anaweza kuvunja record yake ya kutokumfunga liverpool?
tottenham hajawahi kushinda katika michezo sita waliocheza na liverpool
je? manchester united wanaweza kurudisha uhai wa wao kuwa katika top four?
wanakutana na timu yenye washambuliaji hatari na ambao wametoka kupoteza mchezo wao dhidi ya arsenal manchester united wako nyuma ya man city
ni timu ipi itadhurika kutokana na mapumziko ya kimataifa na kuchecha timu za taifa?
ni mbinu gani atakuja nazo mchezaji dimitri payet wa west ham?
ukiangalia mechi zake na timu ya taifa ndipo utagundua huyu ni mchezaji hatari , angalia faulu aliyopiga dhidi ya urussi
man city wanaweza kuwa katika hali nzuri baada ya kurudi kwa wachezaji wake kelvin de bryune, fabian delphi na nasri ? ikimbukwe kwamba man city wako nafasi ya nne ila juu kwa pointi moj dhidi ya west ham na manchester united
nani kati ya newcastle au norwich anaweza kuwa katika nafasi ya kushuka daraja?
norwich anashika nafasi ya 17 ila ni point 3 juu ya newcastle aliye nafasi ya 19 akiwa na mechi moja mkononi na atakutana na norwich
Remi Garde ameicha klabu ya aston villa kwa maamuzi yake mwenyewe wikii iliyopita ? je aston villa wanaweza kujinasua kwenye mstari mwekundu wa kushuka daraja?
je crystal palace wanaweza kurudi katika hali yao ya kawaida baada ya kufungwa mechi 13 mfululizo na wako juu point 7 dhidi ya mstari wa hatari wa kushuka daraja.
No comments:
Post a Comment