Thursday, 15 September 2016
mapenzi matamu ila yanadanganya, soma stori hiyo..
Nina msichana ambaye nimempenda sana, ni muda kitambo nimekuwa nikiwasiliana naye kama rafiki yangu! Kiukweli huwa tunachat naye sana, hana kinyongo kabisa! Kuna siku nilimkosea baada ya kumtania nina mtu mwingine, kesho yake hakuwa na hamu kabisa ya kuchati na mimi, kila nilipomwambia kitu alitengua na kudai anaumwa au amechoka au anajisikia vibaya! Ukweli ulikuja kubainika kuwa nilikuwa namtania tu na haikuwa kweli. Alifurahi sana tuliendelea kuchati kama kawaida yetu!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah
Mchezaji wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...
-
MAISHA ni vita bwana. Ili uweze kushinda, lazima upambane kweli. Wapo wanaoamini kuwa ‘kutusua’ kimaisha lazima uwe umesoma lakini huen...
-
KWA NINI WATOTO HUPOTEZA HAMU YA KULA? Kukosa hamu ya kula ni tatizo la kawaida kwa watoto ambalo hupelekea wazazi wengi kuwa na wasiwasi...
-
Mao alikuwa kiongozi Kichina Kikomunisti na mwanzilishi wa Jamhuri ya Watu wa China. Yeye alikuwa kuwajibika kwa sera za maafa ya ...
No comments:
Post a Comment