Sunday, 12 March 2017

Arsenal wenger aandamwa na mabango pamoja na ushindi wa 5-0


Pamoja na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Lincoln katika Kombe la FA, mashabiki wa Arsenal wanaonekana wanataka kilekile wanachotaka nacho ni Kocha Arsene Wenger kuachia ngazi.

Mashabiki wameendelea kuandamana mitaani wakiwa wameanzisha kampeni mpya waliyoibandika jina la “Wexit”.

Wexiti ni muunganiko wa maneno mawili, Wenger na Exit ikiwa ni sehemu ya wao kuonyesha sasa wako siriaz wanataka Wenger aondoke.










No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...