Thursday, 16 March 2017

Atletico madrid watoka sare ya 0-0 na bayer Leverkusen Agg: 4-2


Atletico Madrid wamefuzu kuingia hatua ya robo fainali kwa mara ya nne mfululizo sas.
ni kweli kwamba kazi kubwa walikuwa wameshaifanya kule ujerumani baada ya kuondoka na ushindi wa goli 4 -2 ambao umewapa nguvu ya kutafuta lolote kuhakikisha hawapotezi mchezo huo.

Jan Oblak akiwa na mshambuliaji wa Leverkusen Chicharito baada ya kuokoa shuti la goli.

 Mchezaji wa Bayer Leverkusen Kevin Volland alijua ni goli kwa jinsi kipa wa Atletico alivyokuwa amejiweka lakini kipa huyo akautoa ule mpira.

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...