Thursday, 16 March 2017

Monaco Yaichapa manchester city bao 3-1

Manchester city yatolewa UEFA kwa kufungwa magoli 3 kwa 1 jumla ya magoli ni 6-6 lakini monaco wanapita kwa faida ya magoli ya ugenini ambayo iliyapata uwanja wa ETIHAD 

Tiemoue Bakayoko celebrates with Kylian Mbappe-Lottin after scoring
Bakayoko kiungo mkabaji wa klabu ya Monaco akishangilia goli la ushindi baada ya kuunganisha kwa kichwa mpira wa adhabu uliopigwa na Lemar.

timu ya manchester city ilionyesha kuzidiwa kimchezo katika kipindi cha kwanza na kuruhusu magoli ambayo yaliwapa matumaini timu ya monaco, vijana hawa wa ufaransa walionekana kujuana na kujiamini sana muda wote wa kipindi cha kwanza. 
Pep Guardiola

Guardiola akiwa na sura inayoonyesha kupoteza matumaini katika dakika za mwisho za nyongeza wakati monaco wakiwa wanatibua mipira kutoka golini kwao.
Leroy Sane celebrates after scoring
Leroy sane dakika ya 71, akiifungia timu yake goli la pekee baada ya goli kipa kuutoa mpira na kumshinda baadae kumkuta sane akiwa mwenyewe akafanya kupasia nyavu tu.
Monaco
mchezaji wa monacco Mbappe akiwa anashangilia goli la kuongoza kwa klabu yake alilofunga dakika ya
Benjamin Mendy
Benjamin Mendy muda wote alikuwa amemfunika  Kevin De Bruyn ambaye alishindwa kusambaza mipira kwa umakini kwakuwa kijana huyu wa monaco alikuwa anatibua mipira yote kwa de bruyn.
 Fabinho
Fabinho akishangilia goli la pili kwa timu yake ya monako pamoja na nahodha wa timu hiyo Germain
Danijel Subasic saves Sergio Aguero
Aguero alionekana kutokuwa vizuri katika mchezo ule amabo alikosa magoli mawili ya wazi ambayo yameigharimu timu yake.

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...