Tuesday, 14 March 2017

JUVENTUS KUBADILI MFUMO WAKIWAVAA FC PORTO


klabu ya JUventus ya Italia imeamua kubadili ulinzi wake kwa ajili ya kuimarisha ngome yao na kuendeleza ushindi ambao utawasaidia kusonga mbele kwenye michuano ya ligi ya mabingwa ULAYA
Dani Alves na Medhi Benatia ndio watakao anza baada ya kuonyesha kiwango kizuri na chenye manufaa kwa timu.
 Mario Mandzukic Amerudi baada ya kuukosa mchezo wao na AC-milan jumapili

Juventus (probable): Buffon; Dani Alves, Bonucci, Benatia, Alex Sandro; Marchisio, Khedira; Cuadrado, Dybala, Mandzukic; Higuain
Porto (probable): Casillas; Maxi Pereira, Marcano, Felipe, Layun; Danilo, Andre Andre, Oliver Torres; Brahimi, Andre Silva, Soares

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...