Tuesday, 14 March 2017

Maradona Apata kizungumkuti

Police officers were dispatched after a call from the Madrid hotel, but found no evidence of any serious disturbance after talking to Diego Maradona and his girlfriend, Rocio Oliva. (Photo: AP)
KOCHA WA ZAMANI WA ARGENTINA DIEGO MARADONA NA MPENZI WAKE ROCIO OLIVA
kocha huyu akutwa na masaibu baada ya kuonekana kuleta ugomvi akiwa katika hoteli huko nchini uispania wakati alipokwenda kutazama timu yake ya zamani Napoli ikicheza na Real Madrid
 viongozi wa hotrli walipiga simu polisi na kuja kupekuliwa wakati huo wote wawili wakionyesha kwamba hawana ugomvi wowote ndipo polisi walipowaachia

maradona aliandika " niko madrid kwa ajili ya kuangalia mpira na sio kitu kingine nasubiri ligi ya mabingwa ulaya, mwanasheria wangu aliwasiliana na uongozi wa madridi wakasema hakuna shida"

Muargentina huyu mwenye miaka 56 anakaa hoteli hiyo ambayo klabu yake ya zamani wanakaaa.

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...