Wednesday, 23 August 2017

usajili wa mastaa ulaya

Zlatan Ibrahimovic

Jack Wilshere U-turn

mchezaji wa Arsenal Arudi kwenye kikosi na kupewa majaribio ya kwenda kucheza kwa wlio chini ya miaka 23 sasa kocha wake Arsenal wenger amemwambia kwamba anahitajika kujituma ili apate namba. 

Alexis Sanchez Auliziwa Bei.

timu nyingi za ligi kuu mbalimbali duniani zimeanza kutoa dau kwa mchezaji sanchez isipokuwa kocha wake amesema hatamuuza mchezaji huyu chini ya paund Milion 70. 
Sanchez anatakiwa na kocha Guardiola wa Man city kwakua kocha  huyu anapenda sana wachezaji ambao walishacheza barcelona tayari. 

Dembele kwenda Barca 

Ousmane Dembele atajiunga na Barcelona kwa ada ya uhamisho ya £138m, kutokana na mwandishi Fernando Palomo.
Barcelona wameshapambana sana kwa kuishawishi klabu ya Dortmund kwa ajili ya kumchukua Dembele, japokuwa klabu ya dembele ilikuwa imempa hadhabu toka August 10.

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...