Thursday, 14 September 2017

Kenya na Tanzania zashuka katika viwango FIFA

Timu za soka za mataifa ya Kenya na Tanzania zimeshuka kwenye orodha ya kila mwezi ya viwango vya soka duniani inayotolewa na Fifa.
Harambee Stars imeshuka nafasi sita hadi nambari 88 duniani, Taifa Stars nao wakashuka nafasi tano hadi nambari 125.
Rwanda wamepanda nafasi moja hadi nambari 118, lakini DR Congo wameshuka nafasi 14 hadi nambari 42.
Uganda wamepanda nafasi mbili na wanashikilia nafasi ya 71.
Burundi wamepanda nafasi tatu hadi nambari 129.
Misri wanaongoza Afrika wakiwa katika nafasi ya 30 baada ya kushuka nafasi 5.
Somalia na Eritrea wanashika mkia wakiwa nafasi ya 206 kwa pamoja, wakiwa hawana alama zozote.
Ushelisheli wanawafuata kutoka nyuma wakiwa nafasi ya 190 baada ya kupanda nafasi 4.


Nafasi duniani
Taifa
Imeshuka/Kupanda
1
Germany
1
2
Brazil
-1
3
Portugal
3
4
Argentina
-1
5
Belgium
4
6
Poland
-1
7
Switzerland
-3
8
France
2
9
Chile
-2
10
Colombia
-2
msimamo wa timu zote duniania


Nafasi duniani
Taifa
Imeshuka au Kuipanda
30
Misri
-5
31
Tunisia
3
33
Senegal
-2
42
Congo DR
-14
44
Nigeria
-6
45
Cameroon
-10
49
Burkina Faso

52
Ghana
-2
54
Côte d'Ivoire
0
56
Morocco
4
62
Algeria
-14

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...