Sunday, 22 October 2017

tottenham yawalaza liverpool kwa magoli mengi



Mchezaji Harry Kane aliipa Tottenham goli la kuongoza mapema dakika ya nne baada ya kutumia makosa kutoka kwa Simon Mignolet

Tottenham: Lloris 6.5, Alderweireld 6.5, Sanchez 6.5, Vertonghen 6.5, Trippier 7, Alli 7, Winks 7, Aurier 6.5, Eriksen (Dier 81) 7.5, Son (Sissoko 69) 7, Kane (Llorente 89) 8
Goals: Kane 4, 56, Son 12, Alli 45
Subs not used: Vorm, Rose, Nkoudou, Davies

Liverpool: Mignolet 4.5, Gomez 6, Matip 4.5, Lovren (Oxlade-Chamberlain 31) 4, Moreno 6, Milner 5, Henderson 5.5, Can (Grujic 84) 5, Coutinho 5, Firmino (Sturridge 77) 5, Salah 6
Goals: Salah 24 
Booked: Can 
Subs not used: Karius, Klavan, Solanke, Alexander-Arnold
Referee: Andre Marriner
Attendance: 80,827

 Son Heung-min is congratulated by fellow scorer Kane as Tottenham bagged their second inside the opening 12 minutes
Son Heung-alifunga goli na kufanya matokeo 2-0 baada ya Dejan Lovren kufanya jaribio la kuunasa mpira na kushidwa wakati huo akiwa mstari wa nusu

Mohamed Salah alipiga pasi  hadi kwa Jordan, Jordan Henderson alikimbia kabla ya mpira na kuufanya mpira utoke njee na kurusha bil kuangali asalah yuko wapi na mpira kunaswa na dele ali
Dele Alli alirejesha moto wa malengo ya Spurs kwa mara mbili kwa kupigwa pasi toka nusu uwanja kwa kukimbia na kumzidi Joel Matip ujanja hadi goli

 Liverpool captain Jordan Henderson shouts at Joel Matip (right) as Dejan Lovren watches on after another defensive mistakenahodha wa liverpool akiwabwatukia Matip na Lovren kwa kufanya makosa ya kizembe

 Kane watches  as his shot flies home in between Liverpool centre backs Lovren and Matip for the opening goal of the gameharry kane Akiangalia goli lake likiingia kwa wapinzani

Zaidi ya shambolic Liverpool kutetea imesababisha Kane bao kutoka kwa rejea kama Spurs alienda 4-1 hadi dakika 55
 Alli laps up the crowd's adulation after bagging Tottenham's third in stoppage time at the end of the first half on Sunday
Hugo Lloris aliokoagoli magoli lakini mashuti makali yalikuwa kutoka kwa  Philippe Coutinho wa Liverpool

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...