Sunday, 5 November 2017

Manchester City yaizabua Arsenal 3-1

Kevin de Bruyne continued his excellent recent form when he put Manchester City ahead with a well directed effort
mchezaji de bryune akionekana kung'ara na kusaidia kwenye ushindi klabu yake ya Man city
Manchester City waliwakung'uta Arsenal 3-1 na kufungua mwanya wa pointi kileleni mwa ligi ya Premier.
Bao la Kevin de Bruyne na penalti ya Sergio Aguero iliiweka Man City katika nafasi ya kushinda ligi ya tisa.City's new record goalscorer Sergio Aguero added another to his tally when he converted a second half penalty
arguero aweka rekodi ni bada ya kufunga penati kwa klabu yake
Arsenal star Alexis Sanchez looks dejected as the City players celebrate scoring the second in the background
Mchezaji Sanchez wa Arsenal alionekana kushangazwa na kuhuzunishwa baada ya wachezaji wa Man city walipokuwa wakishangilia goli
Licha ya Alexandre Lacazette kuipa Arsenal bao la kuvuta machozi, Gabriel Jesus aliipa Manchester ushindi kwa kuifungia bao la tatu.
Alexandre Lacazette came off the bench to bring Arsenal back into the game, finishing through City keeper Ederson's legs
Arsenal huenda wangepata kipigo zaidi isingekuwa ni jitihada za kipa Petr Cech
City were assured of all three points when they dialled up Gabriel Jesus from the bench to score the third
mchezaji jesus wa man city alikuwa na kasi na kuiongezea klabu yake matumaini makubwa ya ushindi wa bao 3
Mafanikio ya Manchester City dhidi ya Machester United walio nafasi ya pili yatatokana na matokeo ya leo dhidi ya Chelsea

Manchester City (4-3-3): Ederson 6, Walker 6.5, Stones 7.5, Otamendi 7, Delph 6.5, De Bruyne 8, Fernandinho 7, Silva 7.5, Sterling 6.5 (Gundogan 78, 6), Aguero 6.5 (Gabriel Jesus 62, 7), Sane 7 (Bernardo Silva 87). 
Unused subs: Bravo, Danilo, Mangala, Toure.
Bookings: Otamendi 
Goals: De Bruyne 19, Aguero 50 (pen), Jesus 74 
Arsenal (4-3-3): Cech 6, Bellerin 6, Koscielny 6.5, Monreal 6, Kolasinac 5, Xhaka 6 (Wilshere 78, 6), Coquelin 5.5 (Lacazette 56, 7), Ramsey 6.5, Ozil 5, Iwobi 6 (Giroud 78, 6), Sanchez 6.5. 
Unused subs: Debuchy, Walcott, Elneny, Macey.
Bookings: Koscielny, Xhaka, Monreal, Sanchez, Lacazette 
Goals: Lacazette 65 
Referee: Michael Oliver (Northumberland) 6
MOM: De Bruyne 

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...