Mshambuliaji huyo wa Brighton alifunga kwa mkwaju wa penalti baada ya Jordan Henderson kumsukuma Shane Duffy dakika chache baadaye, lakini Liverpool waliimarisha matokeo yao kwa kufunga magoli mawili dakika za mwishoni.
Philippe Coutinho alifunga bao la nne akipiga mpira wa adhabu ndogo chini ya ukuta wa mabeki wa Brighton na mpira ulikwenda moja kwa moja na kuzama wavuni mlinda mlango asijue cha kufanya, na dakika mbili baadaye shuti lake liliguswa na Lewis Dunk aliyejifunga na kuhitimisha karamu ya magoli kwa Liverpool Jumamosi
E. Can (30) Roberto Firmino (31) Roberto Firmino (48) Philippe Coutinho (87) L. Dunk (89 og)
E. Can (30) Roberto Firmino (31) Roberto Firmino (48) Philippe Coutinho (87) L. Dunk (89 og)
No comments:
Post a Comment