Sunday, 3 December 2017

YANGA YAVUTIWA NA MZAMBIA

Yanga

Klabu ya Yanga imevutiwa na huduma ya mshambuliaji wa Nkana Rangers ya Zambia, Adam Ziriku raia wa Ghana, straika huyo pia ananyemelewa na klabu ya nchini Afrika Kusini, Baroka Fc anayochezea Mtanzania Abdi Banda, kwa mujibu wa gazeti la Mwanaspoti la Jumamosi Disemba 2

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...