Sunday, 3 December 2017

joshua Vs Parker

Anthony Joshua's next fight, against Joseph Parker, could be confirmed within a fortnight
Antony Joshua kupigana na Parker kama promoter wa mpinzani wake atakubaliana na masharti ya joshua
A fight between Joshua and Parker (above) would be a heavyweight title unification bout
parker hapo juu akija kupigana na joshua utakuwa mchezo mkali sana kwenye ndondi kama ilivyokuwa kwa wachezaji wa zamani kwakuwa hawa ndio miamba ya ngumi za uzani wa juu.Eddie Hearn said talks between Joshua's camp and Parker's promoters are ongoing
Eddie anasema mazungumzo yanaendelea kati ya pande zote mbili 

No comments:

Featured Post

Ronaldo kaonyesha yeye ni mwamba dhidi ya Salah

Mchezaji  wa klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno amefunga magoli mawili  (2) katika mechi kati ya Ureno na Misri...